Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaSample

Yesu Amponya Mwenye Kupooza
Yesu asamehe dhambi za mlemavu na kumponya. Waalimu wa sheria wanazua shaka kwa uwezo wa Yesu kusamehea dhambi.
Swali 1: Nani kati ya jamaa na marafiki unahitaji kuwaleta kwa Yesu ndiposa wapokee uponyaji na wasamehewe?
Swali 2: Elezea kuhusu wakati ambapo ulijihisi umesamehewa na Yesu na je, wakati huo ulikuwaje?
Swali 3: Je Yesu anawahikikishiaje wengine kwamba ako na mamlaka ya kuokoa dhambi na kuponya wenye maumivu?
Scripture
About this Plan

Chunguza jinsi Yesu alivyo onyesha nguvu na huruma yake alipokuwa anaponya watu wakati alipokuwa duniani. Video fupi inaangazia mmoja wa wale watu Yesu aliponya kwa kila siku ya mpango wa sehemu 12.
More
Related Plans

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us
