YouVersion Logo
Search Icon

Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaSample

Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na Huruma

DAY 4 OF 12

Uponyaji Katika Sabato

Mwalimu wa sheria akasirika Yesu alipoponya siku ya Sabato.

Swali 1: Viongozi wa dini walitilia manani mila juu ya hitaji ya binadamu. Ni kwa njia gani kanisa hufanya hivyo katika dunia ya leo?

Swali 2: Elezea njia zile ambapo unaweza kutenda mema hata ikiwa ni kinyume cha utamaduni wako.

Swali 3: Kama ungelikuwa kanisani siku ile Yesu alimponya mtu mwenye mkono uliojikunja, maoni yako yangekuwa yapi?

Scripture