Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaSample

Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma
Mwanaume mwenye ukoma aomba Yesu amponye, na Yesu amponya.
Swali 1: Tunawezaje wafikia kiwa kama vila Yesu aliwafikia kuwaletea uponyaji?
Swali 2: Ikiwa unaweza kuangalia wakati ambapo ulijihisi kuwa mwenye haya ama mtu asiyetakikana, ungelihitaji nini ili kukurejesha?
Swali 3: Je, kanisa linaweza kufanya nini ili kuoko watu wanaoteseka?
Scripture
About this Plan

Chunguza jinsi Yesu alivyo onyesha nguvu na huruma yake alipokuwa anaponya watu wakati alipokuwa duniani. Video fupi inaangazia mmoja wa wale watu Yesu aliponya kwa kila siku ya mpango wa sehemu 12.
More
Related Plans

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us
