Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaSample

Vipofu wawili na bubu waponywa
Yesu awaponya vipofu wawili, lakini awaambia wasiambie yeyote kuhusi kilichotendeka. Alufu Yesu akaponya bubu.
Swali 1: Ni sehemu gani maishani mwako unahitaji kuweka imani yako kwa Yesu kamili?
Swali 2: Mkristo bado anaweza kuwa kipofu na kiziwi kwa njia zipi?
Swali 3: Ni kwa nini unadhani watu wengine wanashangazwa na Yesu ilhali wengine wanamdhihaki?
Scripture
About this Plan

Chunguza jinsi Yesu alivyo onyesha nguvu na huruma yake alipokuwa anaponya watu wakati alipokuwa duniani. Video fupi inaangazia mmoja wa wale watu Yesu aliponya kwa kila siku ya mpango wa sehemu 12.
More
Related Plans

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us
