Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaSample

Yesu Anafundisha Juu ya Kuponya Wenye Pepo
Yesu alipoponya mwenye pepo, wafarisayo wanadhani anatumia nguvu za Beelzebul, lakini sio ukweli. Alafu wataalamu wa sheria waitisha Yesu awape ishara.
Swali 1: Sababu gani wanaweza toa watu kwa ajili ya kutoamini Yesu hata baada Yesu amewapa ishara?
Swali 2: Unafikiria kanisa unayohudhuria inaamini nini kuhusu uwezo wa Yesu wa uponyaji?
Swali 3: Ni utofauti gani nguvu za Yesu inaleta katika maisha yako ya kila siku ya kupambana na uovu?
Scripture
About this Plan

Chunguza jinsi Yesu alivyo onyesha nguvu na huruma yake alipokuwa anaponya watu wakati alipokuwa duniani. Video fupi inaangazia mmoja wa wale watu Yesu aliponya kwa kila siku ya mpango wa sehemu 12.
More
Related Plans

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us
