Uponyaji wa Yesu: Kuchunguza Nguvu na HurumaSample

Msichana Afufuliwa Na Mwanamke Aponywa
Yesu afufua binti wa Jairo, na mwanamke aliyemgusa Yesu aponywa kwasababu ya imani yake.
Swali 1: Umeshawahi sikia mtu akikutangazia kifo cha mtu mpendwa? Elezea jinsi ilivyo tendeka na vile ulivyohisi.
Swali 2: Ni hatari gani ingempata Yairo kwa kumuendea Yesu? I naku/ingekugharimu nini kuwa mfuasi wa Yesu na kuomba msaada wake katika maisha yako?
Swali 3: Tunaweza kuwasaidiaje watu ambao hawana matumaini kama Yairo na mwanamke aliyetokwa na damu ili waweze kumtafuta Yesu kama jibu kwa hali zao?
Scripture
About this Plan

Chunguza jinsi Yesu alivyo onyesha nguvu na huruma yake alipokuwa anaponya watu wakati alipokuwa duniani. Video fupi inaangazia mmoja wa wale watu Yesu aliponya kwa kila siku ya mpango wa sehemu 12.
More
Related Plans

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us
