Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Leo jambo kuu ni hili: kuingia Mbinguni ni kwa neema tu. Ujira wetu, yaani uzima wa milele, ni uleule mmoja kwa wote, na hautolewi kutokana na ustahili wetu, bali kwa sababu Mungu ni mwema. Wanafunzi waliuliza,Tutapata nini basi(19:27)?Kwa hadithi hii Yesu anatuonya kwamba hata kama tumemtumikia kwa miaka mingi kwa uaminifu tusiwe tunaanza kujivuna na kufikiri tunastahili kuliko wengine. Tusiwaonee wivu waliochelewa kumpokea Yesu, bali tufurahi kwa sababu sisi wenyewe tumeokolewa:Msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni! (Lk 10:20)
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Sharing Your Faith in the Workplace
