YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

DAY 13 OF 30

Siku hizi tunasikia misukosuko mingi, na inatutishia usalama. Mwandishi wa zaburi hii anatukumbusha kuwa mambo hayo yalikuwepo tangu huko nyuma. Anaonyesha kuwa Mungu alianza kuwapigania watu wake tangu mwanzo kabisa wakiwa utumwani Misri. Aliwabariki wazee wetu, kwani walikuwa ni uzao wa Ibrahimu ambaye Mungu aliahidi kumbariki. Kwa hiyo tunapoona ulimwengu mzima ukiwa unatikiswa na vurugu nyingi, bado tuna imani kwamba huyo Mungu aliyewapigania wazee wetu, anaweza kutusaidia hata sisi.

Scripture