Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Tunapotenda dhambi, mara nyingi tunakosa raha na kuwa katika mahangaiko makubwa. Tunaanza kufikiri kwamba watu hawatupendi na Mungu akatuacha. Hii ndiyo picha tunayoiona katika zaburi hii ambayo inasadikika iliandikwa na mfalme Daudi mara baada ya kutenda dhambi. Daudi anonekana yupo katika mahangaiko kwa dhambi alizotenda mwenyewe. Je, anachukua hatua gani? Daudi anakumbuka kutubu na kuungama dhambi zake. Ndivyo itupasavyo hata sisi –kutubu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Sharing Your Faith in the Workplace
