Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Waliposikia ya kwamba Yesu anapita, walipaza sauti(m.30). Bila shaka hao vipofu walikuwa wameisikia habari yake. Na waliyosikia yalizaa imani na tumani mioyoni mwao. Sasa siku hiyo ghafula Yesu alikuwa anapatikana. Mara wakamwita, wala hawakujali maneno ya watu, bali walizidi kumwita hadi aliposimama. Na Yesu kweli aliwahurumia, na tangu siku ile wakawa wafuasi wake. Habari hiyo itukumbushe kutokusema ‘kesho’, Yesu anapotuita, balimtafuteni Bwana maadamu anapatikana, mwiteni, maadamu yu karibu(Isa 55:6-7). Je, baada ya kusaidiwa na Yesu ukawa mfuasi wake?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Sharing Your Faith in the Workplace
