Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Mungu anaweza kuruhusu machafuko ili kutufundisha na kututiisha. Pia huzuia vita ili kubaki kuwa na amani. Leo tunaona jinsi Rehoboamu alivyojiandaa kwenda kupigana kwa ajili ya taifa la Israeli, lakini Mungu anamtuma Shemaya kumzuia Yeroboamu asianzishe vita, kwa kuwa mgawanyiko uliotokea una kibali mbele za Mungu. Bwana akasema, Msiende, wala msipigane na ndugu zenu wana wa Israeli; rudini kila mtu nyumbani kwake; kwa kuwa jambo hili limetoka kwangu. Na watu wa Yesu walikubali kumsikiliza Mungu kuliko mfalme: Basi, wakalisikiliza neno la Bwana, wakarudi, wakaenda zao, sawasawa na neno la Bwana (m.24). Je ni mara ngapi Mungu amesema na wewe, ukaisikia sauti yake na kuitii?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Holy Spirit: God Among Us

The Bible in a Month

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone
