Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Pauloni mtumwa wa Kristo Yesu (m.1), yaani amejiweka chini ya mapenzi ya Yesu Kristo kwa kila jambo la maisha yake! Je, wewe umefanya hivyo? Hii ni barua ya msingi kutoka kwa mtume Paulo. Humo amepanga kwa utaratibu mafundisho ya msingi juu ya imani ya Kikristo. Ina sehemu kuu mbili: 1. Imani ya Mkristo (1:18-11:36). 2. Matendo ya Mkristo (12:1-15:33). Paulo anahubiri Injili ya Mungu (m.1), ambayo ni habari njema inayomhusu Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. Kristo ametajwa mara 7 katika somo la leo!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Sharing Your Faith in the Workplace

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

You Say You Believe, but Do You Obey?

The Holy Spirit: God Among Us
