Soma Biblia Kila Siku Juni 2021Sample

Watoto wadogo ni watoto wenye umri hadi miaka 12. Pia walikuwepo watoto wachanga: Wakamletea na watoto wachanga ili awaguse (Lk 18:15). Hapa twajifunza mambo muhimu juu ya watoto kama hao: 1. Wanahitaji wokovu, wanahitaji kupokea ufalme wa Mungu. Wanahitaji kubarikiwa. Kwa sababu hiyo Yesu alichukizwa alipoona wanafunzi wakiwazuia! 2. Wanaweza kabisa kupokea wokovu, kupokea ufalme wa Mungu. Kama wasingaliweza Yesu asingaliwabariki. Tena namna yao ya kupokea ni mfano kwa watu wazima. Hivyo ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa (m.15). Je, umejinyenyekeza kwa Yesu? Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neema wanyenyekevu (Yak 4:6).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Bible in a Month
