Soma Biblia Kila Siku Juni 2021Sample

Kuna malipo kwa ubaya autendao mtu. Ila neno hili mtu asiporejea (m.12) laonyesha pia kwamba huwa Bwana anamwachia nafasi ya kuongoka. Kwa hiyo kupona malipo mabaya kunategemea uamuzi wa mtu mwenyewe. Akitambua ubaya, akatubu na kuuacha, atapona. Bali akijivunia uovu na kudumu ndani yake, atafananishwa na mtu anayejichimbia shimo la kujiangamiza nafsi yake. Madhara yake yatamrejea kichwani pake, Na dhuluma yake itamshukia utosini (m.16). Changamoto ya leo ni hii: Je, kuna lolote katika maisha yako ambalo lakuweka katika njia ya watenda mabaya? Tubu na kuacha.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Every Thought Captive

3 - LORD'S PRAYER - the Lord´s Requirements

As He Purposeth in His Heart by Vance K. Jackson

The Origin of Our Story

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

The Rapture of the Church

Philippians - Life in Jesus

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way
