Somabiblia Kila Siku 3Sample

Leo tumepewa kutafakari miisho ya watu wa aina mbili: mtu mnyofu na mtu mwovu. Mtu mnyofu hujiepusha na uovu na hutafuta kutenda mema. Kwa upande mwingine, mtu mwovu hutafuta kumwangamiza mtu mnyofu. Je, miisho yao ni nini? Umtazame mtu mnyofu, maana mwisho wake huyo mtu ni amani. Wasio haki mwisho waowataharibiwa. Wokovu wa wenye haki una Bwana(m.37-39). Kuifuata njia ya haki na kumngoja Bwana kuna faida ya kudumu katika maisha haya na hata milele.
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

It Starts With One

When Grief and Loss Become a Spiritual Battlefield

Carried Through Cancer: Five Stories of Faith

30-Day Marriage Class by Vance K. Jackson

Go After Jesus: The Adventure of a LIfetime!

Hospitality and the Heart of the Gospel

Acts 22:22-30 | in God's Hands

Matthew's Journey: 'The Gifts You Have' (Part 4)

Journey Through Ephesians
