Somabiblia Kila Siku 3Sample

Watu wa Mungu hukuta dharau. Kwa nini? Tukijaribu kuelewa hali hii, tunaona jambo linalofanana nayo katika Ebr 12:3 kuhusu Bwana wetu: Mtafakarini sana yeye aliyestahimili mapingamizi makuu … msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu. Wakati watumwa wanapomtazama bwana wao kwa woga wa adhabu, waumini wa BWANA wanamtumaini kwa furaha. Tunatiwa moyo, tukikaza macho yetu kwa Yesu, mwanzilishi na mkamilishaji wa imani yetu. Basi, tumtumaini BWANA kwa umakini, na kungojea matendo yake.
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
