Somabiblia Kila Siku 3Sample

Yesu alipoiona huzuni ya Mariamu na wale waliokuja kumfariji akaugua rohoni mwake akalia machozi (m.33-36)! Akamwomba Baba yake amfufue Lazaro (m.41-42). Akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje. Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi ... (m.43-44). Ajabu sana, sivyo? Aliyetenda haya ni NENO ambaye kwa yeye vitu vyote vilifanyika: Hapo mwanzo kulikuwako Nneo, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika(Yn 1:1-3)! Kwa ishara hii Yesu alitukuzwa. Inathibitisha pia ukweli wa maneno yake aliyosema: Mimi ndimi ufufuo na uzima!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans
Find & Follow Jesus, Quarter 4

If God Is Perfect, Why Is There Evil?

Relationships That Flourish: A 30-Day Devotional on Finding Security in Christ and Growing Healthy Connections

Coming to Life: 30-Day Devotional

The Burning Altar - 14 Days of Calling the Church to Pray

LIFE & BREATH

Unfolding the Bible Story With Sherene

Rooted in Your True Identity

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 13-18)
