Somabiblia Kila Siku 3Sample

Ni ajabu sana kwamba njia ya Yesu kutukuzwa ni kifo cha msalaba(m.23-24; 27-28; 32-34)! Ni ajabu maana kifo cha msalaba kilikuwa cha aibu kabisa. Kwanza, ni wahalifu wabaya waliohukumiwa hivyo. Pili, walisulibiwa wakiwa karibu uchi. Tatu, mateso yao yalikuwa makali sana kupita njia nyingine za kuhukumiwa kifo. Siriya Yesu alivyofanya ni upendona utii. [Yesu] hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa ni kitu cha kushikamana nacho; bali alijifanya kuwa hana utukufu, akatwaa namna ya mtumwa, akawa ana mfano wa wanadamu; tena, alipoonekana ana umbo kama mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii hata mauti, naam, mauti ya msalaba(Flp 2:6-8). Alikufa badala yawengine akitimiza mapenziya Baba yake! Je, umeuona utukufu wake? Yohana akasema kuhusu Yesu, Tazama, Mwana-kondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu! (Yn 1:29).
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
