Somabiblia Kila Siku 3Sample

Yesu hakuja kuleta wokovu kwa Wayahudi tu bali kwa wanadamu wote. Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye(Yn 3:16-17)! Sasa aliona dalilikwamba muda umefika atakapokufa kwa ajili ya wote. Maana waliotaka kumwona ni Wayunani, yaani, wacha Mungu ambao si Wayahudi (m.20-24). Tendo la Mariamu vilevile lilikuwa dalili kwa Yesu kwamba kifo chake kinakaribia (m.7-8). Yesu ni ile chembe ya nganoitakayokufa ardhini ili kutoa mazao mengi. Yaani kifo chake msalabani kitaleta wokovu kwa watu wote (m.32)! Pia kwako msomaji!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans
Find & Follow Jesus, Quarter 4

If God Is Perfect, Why Is There Evil?

Relationships That Flourish: A 30-Day Devotional on Finding Security in Christ and Growing Healthy Connections

Coming to Life: 30-Day Devotional

The Burning Altar - 14 Days of Calling the Church to Pray

LIFE & BREATH

Unfolding the Bible Story With Sherene

Rooted in Your True Identity

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 13-18)
