Somabiblia Kila Siku 3Sample

Mungu ndiye aliyewafanya Wayahudi wengi kuwa na mioyo migumu: Amewapofusha macho, Ameifanya mizito mioyo yao; Wasije wakaona kwa macho yao ...(m.40). Aliyotabiri nabii Isaya yakatimizwa. Na wale viongozi walioamini hawakukiri kwa wazi: Kwa maana walipenda utukufu wa wanadamu kuliko utukufu wa Mungu (m.42f). Lakini mtu anayetaka kuwa mfuasi wa Yesu kwa siri, yuko hatarini kupoteza imani yake (ling. Mt 10:32-33: Kila mtu atakayenikiri mbele ya watu, nami nitamkiri mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni). Je, kwako ni muhimu zaidi kupata sifa kwa nani?
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans
Find & Follow Jesus, Quarter 4

If God Is Perfect, Why Is There Evil?

Relationships That Flourish: A 30-Day Devotional on Finding Security in Christ and Growing Healthy Connections

Coming to Life: 30-Day Devotional

The Burning Altar - 14 Days of Calling the Church to Pray

LIFE & BREATH

Unfolding the Bible Story With Sherene

Rooted in Your True Identity

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 13-18)
