Somabiblia Kila Siku 3Sample

Yesu amefundisha kwamba kulishika neno lake ni dalili ya kumpenda (14:23-24). Wakati Yesu alipokuwa anasisitiza hivyo, maneno yake yalikuwa bado hayajaandikwa. Swali linakuja: Neno la Yesu ni lipi? Ni lipi lile neno tunalotakiwa kulishika? Katika somo la leo Yesu hutupa jibu la swali hili:huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu ... atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia(m.26). Katika maandiko ya Mitume (Agano Jipya) twaona jinsi Yesu alivyoitimiza ahadi aliyowapa!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
