Somabiblia Kila Siku 3Sample

Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe(m.11). Furaha ni jambo muhimu na la msingi katika Ukristo! Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini(Flp 4:4). Itakuwaje furaha ya Yesu kuwa ndani yetu? 1.Kwa kuutambua upendo wake kwetu na kuupokea (m.9 na 12-13). 2.Kwa kuzitii amri zake na kuzifuata (m.10). Ni amri kama hii: Mpendane, kama nilivyowapenda ninyi(m.12 na 17). Tukishapokea upendo wake, yaani wokovu wake, twapata moyo mpya unaompenda Yesu na amri zake.
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
