Somabiblia Kila Siku 3Sample

Tukitaka kupata kitu kwa mtu mkubwa, mara nyingi inasaidia tukimpitia mtu ambaye yupo karibu na huyo mkubwa. Leo Yesu anatufundisha kwamba ndivyo ilivyo kwa Mungu. Lazima tumwendee Mungu Mtakatifu kwa kumpitia Mwana wake, yaani, Yesu Kristo, Mpatanishi wetu (m.12-14)! Yesu ni mwombeziwetu kwa Mungu Baba. Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki, naye ndiye kipatanisho kwa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote(1 Yoh 2:1-2). Kwa hiyo omba kwa jina la Yesu, yaani, omba ukimtegemea yeye! Mfuasi wa Yesu afanyaye hivyo huambiwa na Yesu: kazi nizifanyazo mimi, yeye naye atazifanya (m.12).
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
