Somabiblia Kila Siku 3Sample

Yesu alifundisha wazi kwamba katika kumfuata yeye, pia kuna mambo magumu. Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda walio wake; lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu ... kwa sababu hiyo ulimwengu huwachukia(m.19). Ndivyo inavyotokea k.m. mtu akiokoka na kuachana na pombe. Inawezekana kabisa kwamba waliozoea kushiriki naye kilabuni watamchukia na kumwudhi kutokana na msimamo wake mpya. Hali hiyo ni msalaba kwa Mkristo, na majaribu. Yesu anasema, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake, anifuate. Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona(Mt 16:24-25).
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
