Somabiblia Kila Siku 3Sample

Taifa la Israeli walikuwa mzabibu wa Mungu, lakini wakageuka wakawa mzabibu mwitu usiofaa. Nalikuwa nimekupanda, mzabibu mwema sana, mbegu nzuri kabisa; umegeukaje, basi, kuwa mche usiofaa wa mzabibu-mwitu machoni pangu?(Yer 2:21). Sasa Yesu anajitangaza kwamba yeye ndiye Mzabibu wa kweli. Matawi ni wale wakaao ndani yake (m.5). Wakaao ndani yake ni hao ambao neno lake hukaa ndani yao (m.3 na 7). Je, wewe ni mmoja wao? Tambua kwamba Yesu siye shina tu, bali ni mzabibu wote, yaani shina pamoja na matawi! Hii inaonyesha umoja mkubwa ulioko kati ya Yesu na walio wake (m.5)! Yeyeanatufanya tuzae matunda mema!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
