Somabiblia Kila Siku 3Sample

Mambo mawili ni wazi: 1.Kwa kila anayemwamini Yesu kumeandaliwa mahali kwa Mungu Baba Mbinguni (m.2-3)! Yesu anasisitiza: mnamakao mengi. Yaani, usiwe na mashaka! Ameshaandaa mahali kipekee kwa ajili yako. Ni kama ilivyo hapa duniani unapoalikwa kwenye sherehe. 2.Njia ya kufika Mbinguni ni mojatu (m.6)! Mtu asipokubali kumkiri Yesu Kristo alivyoshuhudiwa katika Biblia, hawezi kuingia uzimani. Mimi ndimi njia ... mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi(m.6; ling. Mdo 4:12:Hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo)!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
