Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Wanafunzi kwanza walishindwa kutambua baraka ya ndoa inayotakiwa kudumu mpaka kufa. Walitawaliwa na mawazo ya wakati ule kwamba mke akionekana analeta matatizo kwa mumewe, basi ni kumpa tu hati ya talaka na kumwacha. Yesu anakubali kwamba si wote waliojaliwa kulipokea neno hili, yaani kulielewa. Kukubali uaminifu hadi kufa kunatufanya tutafute namna ya kutatua matatizo yetu badala ya kuyakimbia tu! Pia anaeleza kwamba wako kweli watu ambao hawawezi kuoa ("matowashi") kutokana na hali yao ilivyo.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

Living Like Jesus in a Broken World
