Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Daudi anaendelea kufunua hali yake inavyoonekana mbele ya wengine. Watu wengi, na hasa marafiki zake wanamwacha. Maadui zake wanatunga hila na fitina dhidi yake. Hata hivyo anavumilia lawama zote na fitina wanazofanya dhidi yake. Anajifanya kwamba hasikii wala hataki kuwajibu chochote. Anachofanya ni kutumia kinywa chake kumsifu Mungu badala ya kuwajibu maadui zake. Daudi anamua kuyaacha mambo yote mikononi mwa Mungu na kuamini kuwa shida na aibu yake itakwisha kwa sababu Mungu yu pamoja naye.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

Living Like Jesus in a Broken World
