Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Katika mwaka wa 12 wa utawala wa Ahazi huko Yuda, Hoshea alianza kutawala Samaria. Alifanya maovu mbele za Mungu. Waisraeli wakawa chini ya kongwa la mfalme wa Ashuru aliyewateka na kudai wampe kodi kila mwaka. Tunaonyeshwa kwamba dhambi dhidi ya Mungu ina madhara makubwa:Wakafuata ubatili, wakawa ubatili(m.15). Na Mungu alighadhabika sana, mpakahapana aliyesaliakati ya Waisraeli (m.18), kwa sababuhawakutaka kusikiaalipokuwa akiwaonya (m.14). Je, tunafanana nao?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

Living Like Jesus in a Broken World
