Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Hezekia aitawala miaka 29 Yerusalemu. Alifuata nyayo za mfalme Daudi. Aliondoa madhabahu zote za kuabudia miungu kwenye milima. Hata ile nyoka ya shaba aliiondoa, kwani watu wameanza kuiabudu:Akaivunja vipande vipande ile nyoka ya shaba aliyoifanya Musa; maana hata siku zile wana wa Israeli walikuwa wakiifukizia uvumba; naye akaiita jina lake Nehushtani(m.4; maana ya jina hili ni “kipande cha shaba”). Na Mungu alikuwa pamoja naye, kwani Hezekia alishikamana naye katika yote. Aliwapiga Wafilisti na kuthubutu kukataa kumtumikia Mfalme wa Ashuru. Wakati Mungu alimpa mfalme huyo kuteka mji wa Samaria kwa sababu waliokaa hapohawakuitii sauti ya BWANA(m.12), alilinda mji wa Yerusalemu. Ni vema kumtegemea Mungu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

Living Like Jesus in a Broken World
