Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Mfalme wa Ashuru aliwaleta watu kutoka maeneo mbalimbali na kuwafanya waishi katika maeneo alimowatoa Waisraeli. Kwa sababu hawakumcha Mungu,Bwana akapeleka simba kati yao, nao wakawaua baadhi yao(m.25). Agizo la Mfalme kuhusu kujifunzakawaida ya Mungu wa nchi(m.27) huakisi wazo la kipagani kuwa kila eneo lina mungu wake na ni muhimu kujipatanisha naye. Pamoja na kukubali wazo la mfalme, watu waliendelea kuabudu miungu yao ya asili. Kuchanganya dini namna hii, hata leo ni chukizo kwa BWANA.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

Living Like Jesus in a Broken World
