Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Farao alipotenda kwa ulaghai, Musa alitumwa atoe taarifa ya pigo la tauni mbaya kwa mifugo yote ya Misri. Kama BWANA alivyosema Farao aliendelea kuufanya moyo wake kuwa mgumu. Alituma watu kuchunguza kama mifugo ya Waisraeli imepona.Na tazama, hapana mmoja aliyekufa katika wanyama wa wana wa Israeli. Lakini moyo wa Farao ulikuwa mzito, wala hakuwapa hao watu ruhusa waende zao(m.7). Tunadhihirishiwa kwamba ulinzi wa Mungu hauondoki kwa watu wake. Ni dhahiri pia kwamba Mungu habadilishi mpango alioweka kwa kulitimiza kusudi lake. Ndivyo Musa alivyomwambia Farao,Kesho Bwana atalifanya jambo hili katika nchi(m.5). Tunapotafuta kuisikiliza sauti ya Mungu tufuate kamili anayosema, maana twajua kwamba anachosema atafanya.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
