YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023

DAY 9 OF 31

Somo linaonyesha jinsi Mungu alivyoufanya moyo wa Farao kuwa mgumu ili kuzionyesha nguvu zake na watu wa vizazi vyote wajue kwamba BWANA ndiye Mungu. Musa alitumwa kumwambia Farao kuwa anyenyekee na kuwaruhusu watu waondoke, vinginevyo Wamisri wataletewa nzige kuiharibu nchi. Lakini Farao alitaka waondoke watu wazima tu! Hili lilifanya nzige waile nchi mpaka Farao akakiri amefanya dhambi. Ila toba yake haikuwa na kina, maana pamoja na kuomba msamaha, Farao alizidi kuufanya moyo kuwa mgumu.

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.

More