Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Angalia kwamba wakati huu wa pigo la nne Mungu anaweka mpaka kati ya watu wake na Wamisri, mainzi wajae nchini kote isipokuwa maeneo ya Waisraeli. Zingatia pia isivyowezekana kujadili uamuzi wa Mungu kama Farao alivyojaribu kuhusu kiwango cha ruhusa ambayo anataka kutoa kwa Waisraeli. Katika m.25 anawaambia Musa na Haruni,Endeni mkamtolee Mungu wenu dhabihundani ya nchi hii. Na katika m.28 anaendelea kusema,Mimi nitawapa ruhusa mwende, ili mmchinjie dhabihu Bwana, Mungu wenu, jangwani;lakini hamtakwenda mbali sana. Maagizo ya Bwana lazima yafuatwe kama yalivyoagizwa. Tuwe waangalifu kuyashika tusije tukashusha viwango vyake. Tuweke mioyoni mwetu jinsi Farao alivyoonywa“asitende kwa udanganyifu tena”(m.29).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
