Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Musa anapewa maagizo na BWANA juu ya wanaoruhusiwa kula pasaka. Asishiriki mtu asiye mmoja wa Waisraeli. Wageni wote ni lazima wapitie kanuni ya kutahiriwa kwanza. Hivyo watatakaswa na kustahilishwa kuwa mmoja wa Waisraeli. Sheria hiyo ni mfano kwetu nyakati hizi za ufuasi wa Kristo. Ubatizo ni tohara ya Kristo. Ndivyo tunavyosoma katika Kol 2:11,Katika yeye[Kristo]mmetahiriwa kwa tohara isiyofanyika kwa mikono, kwa kuuvua mwili wa nyama, kwa tohara ya Kristo. Yesu alifanywa pasaka yetu, na sote tuliobatizwa na kumwamini tumepewa uhuru wa kula mwili na kunywa damu yake Yesu. Yeye ndiye kafara ya dhambi. Hakuna sharti lingine.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
