Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Israeli na Yuda wameikataa sheria ya Mungu ambaye alijifunua kwao kwa upendo na uweza mwingi. Aliwatoa utumwani na kuwarithisha nchi ya Kanaani baada ya kuwaondoa wenyeji wake. Akawatukuza kwa kuwainulia manabii na wanadhiri. Lakini hawakuangalia wema huo, bali waliwaharibu watumishi hao pamoja na kufanya maovu tele.Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna(Gal 6:7). Wema wake kwetu ni sauti inayotuita tumpende na tumtii. Hayo ndiyo malipo yetu sahihi kwake.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
