Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Hatimaye Farao anawaruhusu Waisraeli kutoka Misri. BWANA alipiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri (watu na wanyama). Kukawa na kilio kikali katika jamii yote. Farao aliwaita Musa na Haruni, akawaambia waondoke wakamtumikie BWANA. Hata anaomba yeye naye apate baraka:Twaeni kondoo zenu na ng'ombe zenu kama mlivyosema, enendeni zenu, mkanibariki mimi pia(m.32). Alisema hivyo, maana alitambua kwamba Mungu wa Waisraeli ni Mungu mkuu. Utisho wa BWANA ni juu ya Wamisri. Kwa hiyo wanawahimiza Waisraeli watoke kwa haraka, nao wakatoka kwa ushindi wakibeba nyara. Mungu wetu ni mkombozi kweli.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
