Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Edomu ni kizazi cha Esau na ndugu wa Israeli, kizazi cha Yakobo. Lakini Edomu hakujali uhusiano huo wa kinasaba, akampiga Israeli bila huruma. Mungu aliazimu kulipa kisasi. Waamoni kwa kutamani ardhi ya Waisraeli, waliwafanyia ukatili mkubwa wa kuwaua wajawazito na mimba zao. Nao Wamoabu kwa kutoheshimu masalia ya wafu, walimkasirisha Mungu ambaye atawaadhibu. Jumla ya yote ni kwamba watendao kwa udhalimu hawatadumu: “Uso wa Bwana ni juu ya watenda mabaya, aliondoe kumbukumbu lao duniani” (Zab 34:16).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
