Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu (m.18). Kabla Paulo hajaendelea kufundisha zaidi juu ya Injili anaonyesha jinsi Mataifa (1:18-32) na Wayahudi (2:1-3:20) wanavyopotea na kuhukumiwa na ghadhabu ya Mungu. Kuna makosa mawili ya msingi yanayomtenganisha Mmataifa na Mungu: 1. "Uasi", yaani kutokumwamini na kumtukuza Mungu. Kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza … (m.21-23). 2. "Uovu", yaani kufanya yasiyo haki. Hawa ni waipingao kweli kwa uovu (m.18). Je, uko chini ya ghadhabu ya Mungu?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Holy Spirit: God Among Us

The Bible in a Month

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone
