Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Mungu aliwaacha (m.24, 26 na 28)! Njia moja ya Mungu kuidhihirisha hasira yake juu ya uasi na uovu wa watu ni kwa kuwaacha. Wazame katika uovu na waharibike ili ionekane kweli kuwa wamepotea! Mungu hawalazimishi watu. Na wakijua iliyo kweli na haki, hawana udhuru (m.20). Ila hawataki kuifuata iliyo kweli, bali wameamua kufuata tamaa zao na mawazo yao! Hivyo walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza. Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika (m.21-22). Katika upendo wake na utakatifu wake Mungu huyaadhibu maovu. Maana anajua kuwa maovu yanamharibu mtu aliyemwumba kwa mfano wake!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Sharing Your Faith in the Workplace

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

You Say You Believe, but Do You Obey?

The Holy Spirit: God Among Us
