Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Kumbe, hata kama kizazi chetu tumemkosea Mungu, yeye anaweza kubadilisha mambo, tukapata kizazi kipya chenye kumpenda na kumwabudu Mungu. Ndivyo ilivyotokea Yuda, hata bila Abiya kutubu na kumwombea mtoto wake. Asa anaamua kufuata kama alivyofanya babaye Daudi. Akawafukuza mahanithi katika nchi, akaziondoa sanamu zote walizozifanya baba zake (11-13). Matokeo yake, anapata kibali kwa Mungu, uongozi wake unabarikiwa, na jamii inafurahia matunda ya uongozi bora. Tutumie nafasi tuliyo nayo kwa ajili ya kumtumikia Mungu kwa uaminifu, naye atabariki na kuyafanikisha maisha yetu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Philippians - Life in Jesus

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Forever Welcomed: A Five-Day Journey Into God’s Heart for All

The Rapture of the Church

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

3 - LORD'S PRAYER - the Lord´s Requirements

The Origin of Our Story

Every Thought Captive

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way
