Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Mungu alikuwa amechagua Yerusalemu, mji aliouchagua Bwana miongoni mwa kabila zote za Israeli, ili aliweke jina lake huko (m.21), na aabudiwe humo. Lakini matokeo yakawa tofauti kabisa. Watu wa Yuda wakaacha kumwabudu Mungu na wakaiabudu miungu na kufanya machukizo ya kila namna kuliko yote waliyoyafanya baba zao (m.22-24). Matokeo yake, Mungu aliruhusu washambuliwe na Shishaki, mfalme wa Misri, lakini hakuna habari ya mfalme kuacha dhambi zake. Sisi ndio kanisa ambalo Mungu anajivunia, tunapomwasi Mungu tukageukia njia zinazomchukiza, tunamfanya Mungu awe na ghadhabu na sisi.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Holy Spirit: God Among Us

The Bible in a Month

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone
