Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Kifo kinaweza kumpata yeyote bila kujali anaishi maisha matakatifu au maisha ya dhambi. Lakini tukumbuke kuwa tunatakiwa kuacha alama na ushuhuda mzuri tukifa. Inaonekana kwamba Abia, pamoja na kuwa mwana wa mfalme asiyemcha Mungu, yeye mwenyewe aliishi maisha yaliyompendeza Mungu. Kwa hiyo Israeli wote watamlilia, na kumzika, kwa maana ndiye peke yake wa Yeroboamu atakayeingia kaburini; kwa sababu limeonekana ndani yake jambo lililo jema kwa Bwana, Mungu wa Israeli, nyumbani mwa Yeroboamu (m.13). Kumbe hata ukiishi katikati ya jamii inayoabudu miungu, unaweza kufanikiwa kuishi maisha yanayompendeza Mungu. Inawezekanaje? Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi (Yak 4:8).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Sharing Your Faith in the Workplace

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

You Say You Believe, but Do You Obey?

The Holy Spirit: God Among Us
