Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Baraka zinaweza kusambaa hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wampendao Mungu (m.4-5; “taa” hapa linamaanisha mtoto wa kutawala baada ya Abiya). Vivyo hivyo laana pia husambaa kwa wamchukiao Mungu. Hapa Abia ambaye ni kizazi kingine, anaanza kutawala Yuda. Lakini naye anaendeleza yaleyale waliyofanya baba na babu zake (m.3, Akaziendea dhambi zote za babaye, alizozifanya kabla yake). Tunawaachia watoto wetu urithi gani? Hata kama sisi tumeishi maisha maovu, tutubu na kuwaombea watoto wetu wasiingie kwenye laana ila wapate baraka.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Holy Spirit: God Among Us

The Bible in a Month

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone
