Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Akili haikubali wokovu wa bure namna hii! Je, Ibrahimu hakufanya tendo lolote ili apewe uheri huu? Huenda alikuwa ametahiriwa kwanza na halafu imani yake ikahesabiwa kuwa ni haki (m.9-10)? Hapana, hapana! Neema ni neema, haina madai yoyote. Kutahiriwa kwa Ibrahimu kulifuata baadaye kama alama ya kuthibitisha kuwa alikwisha hesabiwa haki kwa imani (m.11)! Aliyetahiriwa na asiyetahiriwa wana hali hii moja: Wote wanahesabiwa haki bure kwa kuamini neema ya Mungu iliyofunuliwa katika Yesu Kristo!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Sharing Your Faith in the Workplace

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

You Say You Believe, but Do You Obey?

The Holy Spirit: God Among Us
