Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Hakuna njia ya mkato katika kushinda kesi yako mbele ya Mungu. Njia ya mkato ni kule kujisifia matendo yako mema mbele ya Mungu pamoja na kumwomba kwa neema yake akusamehe pale ulipokosa na kupungukiwa. Kwenye njia hii hakuna neema kabisa, kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa ajili ya matendo yake, analo la kujisifia; lakini si mbele za Mungu; lakini kwa mtu afanyaye kazi, ujira wake hauhesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni (m.2 na 4)! Ukitaka matendo yako yakusaidie kushinda kesi, ni lazima uwe mkamilifu kwa matendo, maneno na mawazo! Lakini huwezi! Bali ukitambua hali yako ya upotevu na kukubali kuamini kuwa Mungu anataka kukusamehe bure kwa neema tu, hapo umeokoka (rudia tena m.3 na 5-8)!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Holy Spirit: God Among Us

The Bible in a Month

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone
