Soma Biblia Kila Siku/ FEBRUARI 2023Sample

Basi, twaona ya kuwa mwanadamu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria (m.28). Njia ya kufika kwa Mungu ni moja tu kwa watu wote, nayo ni imani. Imani ya kuamini neema ya Mungu kwamba bila ustahili wangu ananisamehe dhambi zote kwa sababu ya upatanisho katika kifo cha Yesu, ambaye Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake (m.25). Kwa kuamini haya twashinda katika kesi yetu mbele ya Mungu, twahesabiwa haki. Mungu ni hakimu na sisi ni washtakiwa. Anatoa hukumu kuwa hatuna dhambi, maana Yesu alipigwa na adhabu ya Mungu badala yetu!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku/Februari 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Warumi na 1 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Everyday Prayers for Christmas

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Holy Spirit: God Among Us

The Bible in a Month

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone
