Soma Biblia Kila Siku Januari/2022Sample

Bwana amembarikia sana bwana wangu, amekuwa mtu mkuu; amempa kondoo, na ng’ombe, na fedha, na dhahabu, na watumwa, na wajakazi, na ngamia na punda. Naye Sara, mkewe bwana wangu, akamzalia bwana wangu mwana wa kiume, katika uzee wake (m.35-36). Ibrahimu alipataje baraka za Mungu? Mwenyewe alishuhudia: Bwana, ambaye naenenda machoni pake (m.40). Aliishi katika nuru ya Bwana! Aliishi kwa kumwamini Mungu na ahadi zake (15:6, Abramu akamwamini Bwana, naye akamhesabia jambo hili kuwa haki). Kwa imani alipata baraka za Mungu!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Januari/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa situ husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure.
More
Related Plans

Parables of Grace: Embrace God’s Love for You

Anchored: The Life and Letters of the Apostle Peter

Live Your OWN Life With Conviction

Sundays at the Track

Jesus Is Our "Light of the World"

Made for More

Christosis: Participation in Christ and Imitation of Christ

Love People?!

Move People Through God Alone
