Soma Biblia Kila Siku Januari/2022Sample

Isaka alipomwoa Rebeka alikuwa na miaka 40. Lakini ikapita miaka 20 mpaka Rebeka akamzalia watoto, yaani, Esau na Yakobo (m.26, Isaka alikuwa mwenye miaka sitini mkewe alipowazaa). Hata hivyo Isaka akawa mwaminifu kwa mke wake miaka yote hii. Badala ya kumlaumu, akazidi kumpenda. Akamshirikisha Mungu tatizo la Rebeka: Isaka akamwomba Bwana kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye Bwana akamwitikia (m.21)! Je, msomaji, wewe ni mwaminifu kwa mwenzako na kumwombea kwa Mungu katika matatizo yake? Kuwa mwaminifu ni pamoja na kumpenda mwenzako na kumheshimu. Hivi ndivyo inavyompasa mkristo, yaani, ... kila mtu ampende mke wake kama nafsi yake mwenyewe; wala mke asikose kumstahi mumewe (Efe 5:21-33).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Januari/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa situ husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure.
More
Related Plans

Parables of Grace: Embrace God’s Love for You

Anchored: The Life and Letters of the Apostle Peter

Live Your OWN Life With Conviction

Sundays at the Track

Jesus Is Our "Light of the World"

Made for More

Christosis: Participation in Christ and Imitation of Christ

Love People?!

Move People Through God Alone
