Soma Biblia Kila Siku Juni 2021Sample

Yesu anafundisha kuhusu ukuu katika ufalme wa Mungu: Mtu atakaye kuwa wa kwanza atakuwa wa mwisho kuliko wote, na mtumishi wa wote (m.35). Ni tofauti sana na ukuu katika ulimwengu huu. Wanafunzi walitumia kipimo cha ukuu katika ulimwengu huu ambacho ni mamlaka ya mtu. Lakini kipimo katika ufalme wa Mungu ni kutumika kwa mtu. Kwa maana Mwana wa Adamu naye hakuja kutumikiwa, bali kutumika, na kutoa nafsi yake iwe fidia ya wengi (10:45). Huwa huduma kwa watoto haihesabiki kuwa kazi yenye heshima sana. Ila kwa wafuasi wa Yesu hali inatakiwa kuwa tofauti kabisa. Hiyo Yesu anatufundisha katika m.36-37 kwa namna ifuatayo: Akatwaa kitoto, akamweka katikati yao, akamkumbatia, akawaambia, Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma. Je, unawapenda watoto?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Bible in a Month
